Pages

Thursday, August 30, 2012

ANGALIA MAKUNDI YA UEFA HAPA

Angalia makundi ya UEFA (klabu bingwa barani ulaya) hapa.




 
GROUP A
GROUP B
GROUP C
GROUP D
Porto  Arsenal  AC Milan Real Madrid
Dynamo Kiev  Schalke  Zenit St Petersburg  Manchester City
Paris Saint-Germain  Olympiakos Anderlecht Ajax
Dinamo Zagreb  Montpellier  Malaga Borussia Dortmund
GROUP E
GROUP F
GROUP G
GROUP H
Chelsea Bayern Munich Barcelona Manchester United
Shakhtar Donetsk Valencia Benfica Braga
Juventus Lille Spartak Moscow Galatasaray
Nordsjaelland BATE Borisov Celtic  Cluj

KIBONZO CHA LEO C.RONALDO HAKAMATIKI

Kibonzo kikionesha barcelona wakipata shida na C.Ronaldo

MBUYU TWITE ATUA DAR

Mbuyu Twite akiongozwa na viongozi wa Yanga kuelekea kwenye gari
Hawa ni washabiki wa Yanga waliofika kumpokea Mbuyu Twite


Mbuyu Twite akiwa amevaa Jezi namba 4 Iliyoandikwa Rage akihojiwa na waandishi wa habari

Mmoja wa washabiki wa Yanga akiwa na jezi namba 4 iliyo andikwa Rage
Wakati huo huo kocha wa Yanga Tom amefanya kikao na waandishi wa habari na kukanusha habari iliyo andikwa katika website ya super sports kuwa hafurahii mazingira ya kazi nani ya ya klabu hiyo ya Yanga.
Amesema anavutiwa na mazingira yake ya kazi na ushirikiano anaopata kwa viongozi wa mabingwa hao wa klabu bingwa Afrika mashariki na kati.

HAWA NGURUME AFARIKI DUNIA

Marehemu Hawa Ngurume akitoa maelezo ya ugonjwa wake kwa mwandishi wa habari

Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbalali, Bagamoyo na Kinondoni na Mkoani Iringa Hawa Ngurume. Amefariki leo Asubuhi. Mama huyo alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa figo.
Ugonjwa huo ulimsumbua kwa muda ambapo ilifanya atibiwe katika Hospitali mbalimbali ikiwemo Hospitali ya Taifa Muhimbili na Hospitali nyingi za binafsi.
Marehemu atakumbukwa kwa uchapa kazi na uongozi wake mzuri na usikivu na uunganishaji wa wananchi na uhamasishaji wa maendeleo.
Sote ni wa Mungu na kwake tutarejea.